Habari za Punde

*VEN PERSIE ATAMBULISHWA RASMI MAN U, KUVAA JEZI NA. 20

Kocha wa timu ya Manchester United, Alex Ferguson (kulia) akimtambulisha na kumkabidhi jezi No. 20, mchezaji mpya wa timu hiyo, Robin Van Persie, wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye Uwanja wa Old Trafford jijini Manchester leo, mchana. Mkali huyo aliyejiunga na timu hiyo akitokea Arsenal, amesaini mkataba wa miaka minne na timu hiyo. 

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.