Wachezaji wa Timu ya Taifa, Taifa Stars wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo wakitokea Gaborone Botswana, ambapo walicheza mechi ya kirafiki na The Zebras na kutoka sare ya kufungana mabao 3-3.
SIMBA SC YATOA SARE UGENINI LIGI YA MABINGWA AFRIKA, 1-1 NA PETRO ANGOLA
-
TIMU ya Simba SC imetoa sare ya kufungana bao 1-1 na wenyeji, Petro de
Luanda katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa usiku huu Uwanja wa
Novemba 11 Ji...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment