Wachezaji wa Timu ya Taifa, Taifa Stars wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo wakitokea Gaborone Botswana, ambapo walicheza mechi ya kirafiki na The Zebras na kutoka sare ya kufungana mabao 3-3.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment