Habari za Punde

*TAIFA STARS YAWASILI NCHINI KUTOKA BOTSWANA LEO


 Wachezaji wa Timu ya Taifa, Taifa Stars wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo wakitokea Gaborone Botswana, ambapo walicheza mechi ya kirafiki na The Zebras na kutoka sare ya kufungana mabao 3-3.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.