Wachezaji wa Timu ya Taifa, Taifa Stars wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo wakitokea Gaborone Botswana, ambapo walicheza mechi ya kirafiki na The Zebras na kutoka sare ya kufungana mabao 3-3.
TCAA Yatumia Wiki ya Utumishi wa Umma Kuelimisha Wananchi
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeungana na Taasisi mbalimbali
za umma kushiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
yanayofany...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment