Shindano la kuwasaka Warembo bomba wa Utalii wa Ilala na Kinondoni, litafanyika kesho siku ya Ijumaa kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Lamada, iliyopo Ilala Boma kwa viingilio vya Sh.30,000/= VIP na sh. 10,000/= kawaida. Katika shindano hilo kutakuwa na burudani kutoka kwa bendi ya Fm Academia, kundi la Taarab la T-Moto lililo chini ya Amin Salmini, vikundi vya muziki wa asili na wasanii kadhaa wa Bongo Flava.
MHANDISI MUTASINGWA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE BUKOBA MJINI, AAHIDI
KUTEKELEZA MURADI YA WATANGULIZI WAKE
-
Na Diana Byera, Bukoba.
MGOMBEA ubunge Jimbo la Bukoba mjini Mhandisi Johnston Mutasingwa kupitia
Chama Cha Mapinduzi (CCM) amechukua fomu ya kuwania nafas...
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment