Shindano la kuwasaka Warembo bomba wa Utalii wa Ilala na Kinondoni, litafanyika kesho siku ya Ijumaa kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Lamada, iliyopo Ilala Boma kwa viingilio vya Sh.30,000/= VIP na sh. 10,000/= kawaida. Katika shindano hilo kutakuwa na burudani kutoka kwa bendi ya Fm Academia, kundi la Taarab la T-Moto lililo chini ya Amin Salmini, vikundi vya muziki wa asili na wasanii kadhaa wa Bongo Flava.
Washiriki zaidi ya 2000 kushiriki kongamano la mashirika yasiyo ya
kiserikali
-
WASHIRIKI zaidi ya 2000 kutoka ndani na nje ya Tanzania wanatarajiwa
kushiriki kongamano la mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs)
linalo...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment