Shindano la kuwasaka Warembo bomba wa Utalii wa Ilala na Kinondoni, litafanyika kesho siku ya Ijumaa kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Lamada, iliyopo Ilala Boma kwa viingilio vya Sh.30,000/= VIP na sh. 10,000/= kawaida. Katika shindano hilo kutakuwa na burudani kutoka kwa bendi ya Fm Academia, kundi la Taarab la T-Moto lililo chini ya Amin Salmini, vikundi vya muziki wa asili na wasanii kadhaa wa Bongo Flava.
RAIS MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AWAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI IKULU YA
CHAMWINO MKOANI DODOMA.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Mhe. Profesa Palamagamba John Aidan Kabudi kuwa Waziri wa Nchi,
Ofi...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment