Shindano la kuwasaka Warembo bomba wa Utalii wa Ilala na Kinondoni, litafanyika kesho siku ya Ijumaa kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Lamada, iliyopo Ilala Boma kwa viingilio vya Sh.30,000/= VIP na sh. 10,000/= kawaida. Katika shindano hilo kutakuwa na burudani kutoka kwa bendi ya Fm Academia, kundi la Taarab la T-Moto lililo chini ya Amin Salmini, vikundi vya muziki wa asili na wasanii kadhaa wa Bongo Flava.
TANZANIA NA UAE KUENDELEZA USHIRIKIANO KATIKA UWEKEZAJI
-
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam
Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimeahidi kuimarisha zaidi
ushirikiano katika sekta mbalimbali za kiuchumi iki...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment