Katibu wa Nec,Itikadi na Uenezi Taifa wa CCM,Nape Nnauye,alipokuwa akizungumza na Waandishi wa habari leo kuhusu Kufanyika kwa Vikao vya juu vya Chama hicho katika Ukumbi wa White House mjini Dodoma,vikijadili majina ya wagombea nafasi mbali mbali zikiwemo,Uwenyekiti wa Wilaya na Mikoa na Ujumbe wa Halamashauri Kuu ya Taifa.Picha na Ramadhan Othman,Dodoma
BAFANA BAFANA YAANZA VYEMA AFCON, YAICHAPA ANGOLA 2-1
-
TIMU ya Afrika Kusini imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya jirani zao,
Angola katika mchezo wa Kundi B Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika
(AFCON)...
2 hours ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment