Habari za Punde

*TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB) YATOA TAARIFA YAKE YA KIFO CHA DAUDI MWANGOSI

 Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binaadamu na Utawala Bora Jaji Kiongozi (Mstaafu) Amiri Ramadhan Manento (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini  Dar es Salaam  leo wakati akitoa muhtasari wa  taarifa ya Uchunguzi wa Tume yake kuhusu tukio lililopelekea kifo cha mwandishi wa habari, marehemu Daudi Mwangosi, kilichokea hivi karibuni, kijijini Nyololo, Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa. (Kushoto) ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya  Haki za Binadamu na Utawala Bora Mahfoudha.A. Hamid  na (kulia) ni  Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu kutoka Tume hiyo Florida Kazora.
 Sehemu ya wanahabari waliohudhuria.....
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya  Haki za Binadamu na Utawala Bora Mahfoudha.A. Hamid. Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.