Habari za Punde

*TAIFA STARS YAINYUKA HARAMBEE STARS 1-0 CCM KIRUMBA

TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, leo imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Harambee Stars, ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa uliomalizika hivi punde katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Bao la Stars, limefungwa mapema tu katika dakika ya 5 na sekunde kadhaa kipindi cha kwanza na Agrey Moris, na kufanya timu hizo zikienda mapumziko Stars ikiwa mbele matokeo yaliyodumu hadi kumalizika kwa mchezo huo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.