TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, leo imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Harambee Stars, ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa uliomalizika hivi punde katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Bao la Stars, limefungwa mapema tu katika dakika ya 5 na sekunde kadhaa kipindi cha kwanza na Agrey Moris, na kufanya timu hizo zikienda mapumziko Stars ikiwa mbele matokeo yaliyodumu hadi kumalizika kwa mchezo huo.
Iramba waishukuru Benki ya CRDB kujenga Kituo cha Afya Mukulu
-
Iramba: Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mheshimiwa Suleiman Mwenda ameishukuru
Benki ya CRDB kwa kukamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya Mukulu akisema
kitasaidia ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment