TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, leo imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Harambee Stars, ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa uliomalizika hivi punde katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Bao la Stars, limefungwa mapema tu katika dakika ya 5 na sekunde kadhaa kipindi cha kwanza na Agrey Moris, na kufanya timu hizo zikienda mapumziko Stars ikiwa mbele matokeo yaliyodumu hadi kumalizika kwa mchezo huo.
VIJANA WATATU WAHUKUMIWA KIFUNGO KISA KUZUSHA KUIBIWA NYETI, MWINGINE JELA
MIAKA THELATHINI (30) - RUKWA
-
JESHI la Polisi Mkoa wa Rukwa linaendelea na mapambano dhidi ya wahalifu
mbalimbali wakiwemo wale wanaosababisha taharuki katika jamii kwa kuzusha
kuibiwa...
44 minutes ago

No comments:
Post a Comment