NAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Mwigulu Nchemba, leo amekutana na wanahabari katika Ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Ambapo amezungumzia mambo mbalimbali kuelekea mwisho wa mwaka na mikakati ya chama hicho.
WADAU WAKUTANA KUZUNGUMZIA MRADI WA UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE WA
KIMATAIFA CHA SERENGETI
-
WIZARA ya Uchukuzi kwa kushirikiana na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege
Tanzania (TAA) Jumapili April 20, 2026 wamekutana na wadau mbalimbali
kuzungumzia m...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment