Katibu wa NEC,Siasa na Uhusiano wa Kimataifa,Dkt. Asha-Rose Migiro (pili kulia) akiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe,Ndg. Gishuli Mbegesi Charles (kushoto) kupita kwenye njia mbovu yenye tope kuelekea kwenye eneo la mpaka wa Tanzania na Burundi unaotenganishwa na sehemu ya Mto Maragarasi, wakati akiwa katika ziara yake ya ziara wilaya mpya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, jana.
Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko nchini Kenya inakaribia 200
-
Idadi ya watu ambao wamepoteza maisha kutokana na mafuriko nchini Kenya
imeongezeka hadi 188, wizara ya mambo ya ndani ilisema Alhamisi, huku nchi
hiyo i...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment