Katibu wa NEC,Siasa na Uhusiano wa Kimataifa,Dkt. Asha-Rose Migiro (pili kulia) akiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe,Ndg. Gishuli Mbegesi Charles (kushoto) kupita kwenye njia mbovu yenye tope kuelekea kwenye eneo la mpaka wa Tanzania na Burundi unaotenganishwa na sehemu ya Mto Maragarasi, wakati akiwa katika ziara yake ya ziara wilaya mpya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, jana.
Fadhyl ang’ara tena mashindano ya Lina PG Tour Morogoro
-
MASHINDANO ya raundi ya nne ya kumuenzi mchezaji gofu wa timu ya taifa
wanawake marehemu Lina Nkya, Lina PG Tour yametamatika kwa kishindo mkoani
Mo...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment