Askari Polisi wakimrejesha mahakamani mtuhumiwa wa mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa Kituo cha Televisheni cha Chanel Ten na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa, marehemu Daudi Mwangosi, askari wa FFU mwenye namba G2573 Pasificus Cleophace Simoni (23) (aliyevaa kofia nyekundu) baaada ya kutoroshwa kizimbani kabla ya mahakama kumaliza shughuli zake, picha ya chini ikimuonesha wakati akirudishwa ndani ya mahakama leo.
Airtel Africa Foundation unveils plan for improving 10 million lives in
Africa by 203
-
Airtel Africa Foundation, the philanthropic arm of Airtel Africa plc, today
unveiled its plans to directly improve the lives of 10 million people
across ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment