Askari Polisi wakimrejesha mahakamani mtuhumiwa wa mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa Kituo cha Televisheni cha Chanel Ten na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa, marehemu Daudi Mwangosi, askari wa FFU mwenye namba G2573 Pasificus Cleophace Simoni (23) (aliyevaa kofia nyekundu) baaada ya kutoroshwa kizimbani kabla ya mahakama kumaliza shughuli zake, picha ya chini ikimuonesha wakati akirudishwa ndani ya mahakama leo.
WAZIRI MKUU ATIMIZA AHADI YA PIKIPIKI 10 KWA VIKUNDI VYA BODABODA RUNGWE
-
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametimiza ahadi yake ya kutoa pikipiki
10 kwa vikundi vya waendesha bodaboda wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, ikiwa
ni j...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment