Askari Polisi wakimrejesha mahakamani mtuhumiwa wa mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa Kituo cha Televisheni cha Chanel Ten na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa, marehemu Daudi Mwangosi, askari wa FFU mwenye namba G2573 Pasificus Cleophace Simoni (23) (aliyevaa kofia nyekundu) baaada ya kutoroshwa kizimbani kabla ya mahakama kumaliza shughuli zake, picha ya chini ikimuonesha wakati akirudishwa ndani ya mahakama leo.
BALOZI DKT NCHIMBI; KAZI KUBWA ZA SAMIA ZINAIPA CCM UJASIRI
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi,
amesema kazi kubwa inayofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mhe....
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment