Huu ni muendelezo wa 147 Critics, ambapo leo tutawasikiliza wadau na wanamuziki wawili wa muziki wa kizazi kipya, Judith D.M Wambura a.k.a Lady Jay Dee na Dully Sykes ili kujua ufahamu wao kuhusiana na marekebisho
ya sheria ya ushuru wa bidhaa Sura 147
yanayogusa maslahi ya wanamuzki na wanafilamu nchini Tanzania.
Tuwasikilize hawa katika wakati tofauti Critics 147:Judith D.M Wambura a.k.a Lady Jay Dee (3) na 147 Critics:Dully Sykes
(4) wakiwa ni watu wa tatu na nne kuelezea maoni yao kupitia link hii.
ATE YATOA ELIMU NA MSAADA WA ‘PEDI’ KWA MABINTI SHULE YA UHURU MCHANGANYIKO
DAR
-
Na Mwandishi Wetu, Dar
TAASISI ya Afya na Tumaini Endelevu (ATE) imetoa elimu ya afya ya hedhi kwa
wasichana wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko ya jij...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment