Habari za Punde

*BREAKING NEEEEWZ!! MCHORO WA MTUHUMIWA WA MAUAJI YA PADRI EVALIST MUSHI WAZAA MATUNDA ZANZIBAR


Habari zilizoufikia mtandao huu hivi punde kutoka mjini Zanzibar, zinaeleza kuwa yule Mtu anayesadikika kudaiwa kumuua Padr Evalist Mushi wa Kanisa Katoliki lililopo Visiwani Zanzibar siku za hivi karibuni, amekamatwa leo akiwa katika maeneo ya Kariakoo mjini Zanzibar.

Imeelezwa na Ripota wa Mtandao huu kuwa Jeshi la Polisi la Mjini Unguja, tayari limethibitisha tukio hilo la kukamatwa kwa Mtuhumiwa huyo, ambaye anashikiliwa na polisi kwa mahojiano zaidi.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.