Beki wa timu ya Ayosa Fc ya Magomeni, Kadili Salum, akiruka kuokoa mpira mbele ya mshambuliaji wa Kinondon Garden Fc, Khalfan Kitenge, wakati wa mchezo wao wa Ligi ya TFF, uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Kijitonyama. Katika mchezo huo Timu ya Kinondoni Garden, iliibuka na ushindi wa bao 1-0.
BONDIA FRANK SHAGEMBE ATWAA MKANDA WA AFRIKA (WBO)
-
Bondia Frank Shagembe kutoka mkoani Mbeya ameandika historia mpya katika
medani ya ngumi nchini baada ya kutwaa mkanda wa Afrika wa WBO katika
pambano l...
32 minutes ago



No comments:
Post a Comment