 |
Kipre Tchetche wa Azam Fc (juu) akiruka kwanja la beki wa timu ya Barrack Young Controller, wakati wa mchezo wa timu hizo wa marudiano Kombe la Shirikisho, ulichezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar Es Salaam. Katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare bila kufungana na kuifanya Azam izidi kusonga mbele  |
John Boko (kulia) akichuana na beki wa Barrack Young.
 |
| Kipre Tchetche wa Azam FC, akimtoka Prince Jetoh wa Barrack Young Controllers kwenye mchezo wa kombe la shirikisho barani Afrika uliochezwa uwanja wa Taifa leo. |
No comments:
Post a Comment