Habari za Punde

*RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano, katika utekelezaji wa kazi za Wizara hiyo, wakati alipokutana nao katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi(kulia) ni Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi,pia Katibu Mkuu Kiongozi Dk.Abdulhamid Yahaya Mzee.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.