Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu (kushoto) akizungumza na warembo wanaotarajia kushiriki katika shindano la Redd's Miss Kigamboni 2013, wakati alipowatembelea kwenye kambi yao ya mazoezi jijini Dar es Salaam, ,wishoni mwa wiki. Shindano hilo linatarajia kufanyika Juni 7 mwaka huu kwenye Ukumbi wa Navy Beach Kigamboni.
AHMED ARAJIGA NA ALLY HAMDANI WATEULIWA KUCHEZESHA CHAN 2024
-
MAREFA wawili wa Tanzania, Ahmed Arajiga na Ally Hamdani Said wamejumuishwa
katika orodha ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ya wasimamizi wa mechi
wali...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment