Habari za Punde

*NBC YADHAMINI MAFUNZO NA KUTOA SOMO LA UJASILIAMALI KWA WANAWAKE WA TANGA

 Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Galawa akifungua semina ya siku moja kwa wanawake wajasiriamali waislamu iliyoandaliwa na Benki ya NBC Kitengo cha Islamic Banking mjini Tanga leo. Kulia ni Mkuu wa kitengo hicho, Yassir Masoud na kushoto ni Meneja Operesheni wa NBC Tawi la Tanga Kibibi Said Kibao.
Baadhi wa washiriki wa semina ya siku moja iliyoandaliwa na Benki ya NBC Kitengo cha Islamic Banking wakiwa katika semina hiyo jijini Tanga leo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.