Kaimu Mwenyekti vyuo vikuu, Mkoa wa Dar es salaam, Assenga Abubakar (Kushoto),Katibu Msaidizi Mkoa wa vyuo vikuu,anayeshughulikia mikoa ya Dar es salaam na Zanzibar na Kepteni mstaafu, Alhaji Mohamed Ligola wakiwa kwenye mkutano na viongozi wa matawi ya vyuo ya CCM DSM, leo.
Baadhi ya viongozi wa matawi ya CCM ya vyuo vikuu mkoa wa Dar es salaam wakiwa kwenye mkutano wao ambao pamoja na kujadili masuala mbali mbali ya kisiasa na masaula ya gesi Mtwara pia walipata wasaa wa kupata Darasa la Itikadi.
RAIS MWINYI: HAYATI MZEE BENJAMIN WILLIAM MKAPA NI MFANO WA KUIGWA KWA
MCHANGO WAKE KWA TAIFA
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, ameeleza kuwa Hayati Mzee Mkapa atabaki kuwa mfano wa kuigwa
kwa kizaz...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment