Kaimu Mwenyekti vyuo vikuu, Mkoa wa Dar es salaam, Assenga Abubakar (Kushoto),Katibu Msaidizi Mkoa wa vyuo vikuu,anayeshughulikia mikoa ya Dar es salaam na Zanzibar na Kepteni mstaafu, Alhaji Mohamed Ligola wakiwa kwenye mkutano na viongozi wa matawi ya vyuo ya CCM DSM, leo.
Baadhi ya viongozi wa matawi ya CCM ya vyuo vikuu mkoa wa Dar es salaam wakiwa kwenye mkutano wao ambao pamoja na kujadili masuala mbali mbali ya kisiasa na masaula ya gesi Mtwara pia walipata wasaa wa kupata Darasa la Itikadi.
JUBILEE HEALTH INSURANCE YAPELEKA ELIMU YA AFYA YA AKILI KWA WANAFUNZI
SEKONDARI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
JUBILEE Health Insurance imetoa elimu kuhusu afya ya akili kwa wanafunzi wa
Shule ya Sekondari Mzizima jijini Dar es Salaam len...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment