Full Movie Toleo jipya la Wabunge Mjengoni
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi akiwa ameng'ang'ania Microphone ya sehemu ya Kuzungumzia wapinzani Bungeni wakati polisi walipokuwa wakimtoa katika ukumbi wa Bungeni Mjini Dodoma jana. KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPO CHINI ENDELEA
Wabunge wa Upinzani wakimlinda Kiongozi wao, Freeman Mbowe, asitolewe ukumbini jana.
Ulinzi ukiendela....
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi, akiendelea kung'ang'ania Microphone ya sehemu ya Kuzungumzia wapinzani Bungeni wakati polisi walipokuwa wakimtoa ukumbini Bungeni Mjini Dodoma jana. Hata hivyo Microphone hiyo iling'oka na polisi wakafanikiwa kumtoa nje.
Microphone hiyo iling'oka na polisi wakafanikiwa kumtoa nje-
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi akitolewa na Askari Polisi nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.
Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe akiongoza wabunge wa CHADEMA kutoka ukumbini Bungeni mjini Dododma baada ya kuamriwa kufanya hivyo na Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai.
Wabunge wa upinzani wakitoka nje.....
Mbunge wa Mbeya Mjini akizuiwa na wabunge wa CHADEMA ili asiendelee kupambana na polisi, Bungeni Mjini Dodoma.
No comments:
Post a Comment