Mlezi wa kikundi cha Cash Money akimfaliji mama Samir Nassoro, Naomi Ramadhani walipokutana wakati kundi hilo likitoa msaada kwa wagojwa katika Wodi ya watoto. |
Baadhi ya wanachama wa kikundi cha Cash Money wakimfariji Bi Naomi Ramadhani. |
Msanii wa bendi ya Msondo ngoma Saddy Ally (katikati) akisalimiana na wanakikundi cha Cash Money walipokutana katika hospitali ya Temeke wakitokea kutoa msaada. |
Wana kikundi wa Cash Money, Amina Uredi 'Mmanyema ' (kushoto) na Zulfa Kasongo. |
No comments:
Post a Comment