Baadhi ya wakazi wa maeneo ya Kimara, Mbezi wakiwa katika kituo cha daladala wakisubiri usafiri kuelekea makazini, ambapo kuanzia majira ya saa 12 asubuh hakuna gari lililoweza kupita kuelekea wala kutoka Mbezi. Kwa maana hiyo abiria wa Posta, Kariakoo na maeneo mengine ya katikati ya mji bado wamekwama maeneo hayo. Imeelezwa hii imesababishwa na ajali ya Lori ambalo limegongana na na kuziba barabara huko maeneo ya Kimara na kusababisha adha hii. Poleni wakazi wa Kimara na Mbezi, Mabosi zenu watawaelewa tu. Picha na Abia Richard
Viongozi Maliasili Wafanya “Royal Tour” Hifadhi ya Manyara
-
Unaweza kusema urasi (legacy) ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, katika filamu ya “Tanzania: The Royal Tour” ni
ngumu ku...
27 minutes ago

No comments:
Post a Comment