Mshambuliaji wa timu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, Betram Mwombeki, akikokota mpira kuwatoka mabeki wa Kagera Sugar, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania bara unaoendelea muda huu kwenye Uwanja wa Taifa. Katika mchezo huo Simba inaongoza bao 1-0 lililofungwa na Amis Tambwe katika dakika ya 45, baada ya pasi nzuri kutoka kwa Betram Mwombeki.
WAZIRI KIKWETE AWATAKA TPSC KUFANYA TAFITI ZITAKAZOSAIDIA KUBORESHA
UTUMISHI WA UMMA NCHINI
-
Na Eric Amani-Dar es Salaam Tarehe 27 Novemba, 2025
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Ridhiwani Kik...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment