Habari za Punde

*SIMBA INAONGOZA BAO 1-0 SASA NI KIPINDI CHA PILI

Mshambuliaji wa timu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, Betram Mwombeki, akikokota mpira kuwatoka mabeki wa Kagera Sugar, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania bara unaoendelea muda huu kwenye Uwanja wa Taifa. Katika mchezo huo Simba inaongoza bao 1-0 lililofungwa na Amis Tambwe katika dakika ya 45, baada ya pasi nzuri kutoka kwa Betram Mwombeki.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.