Habari za Punde

*ALIYEWAHI KUWA MNENGUAJI WA TWANGA PEPETA NA EXTRA BONGO MWANTUM AFARIKI DUNIA

 Aliyewahi kuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo, Marehemu Mwantumu, amefariki dunia jana katika Hospitali ya Mwananyamala alikokuwa amelazwa kufuatia kusumbuliwa na maradhi. Pichani ni Mwantum enzi za uhai wake akiwa katika moja ya shoo za Extra Bongo.
 Mwantumu enzi za uhai wake
 Marehemu Mwantumu
 Kwaheri Mwantumu
 Mwantumu wa kwanza (kushoto) akiwa katika pozi na wacheza shoo wenzake
 Marehemu, Mwantumu(wa kwanza kulia) aktika moja ya shoo za Extra Bongo na wenzake
 Dah mwantumu ndio kwaheri tena.......
Mwantumu (kulia) akicheza na wacheza shoo wenzake.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.