Habari za Punde

*FUTURE YOUNG TAIFA STARS YAWAADHIBU KAKA ZAO TAIFA STARS KWA KUWACHAPA BAO 1-0.

Kiungo mkabaji wa Taifa Stars, Athuman Idd 'Chuji', akimdhibiti mshambuliaji wa Future Young Taifa Stars, wakati wa mchezo wa kujipima nguvu uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo Vijana wa Future Young Taifa Stars, walishinda bao 1-0.
Simon Msuva, akitoka nje baada ya kuumia wakati wa mchezo huo....
Simon Msuva (kulia) akiwania mpira na Erasto Nyoni wakati wa mchezo huo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.