Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki shughuli za ujenzi katika Zahanati ya Mahilo wilayani Songea mjini .
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa nyumba ya mwalimu
kwenye shule ya sekondari Mdandamo wilayani Songea mjini
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akikagua ujenzi wa nyumba ya maabara katika shule ya sekondari Mdandamo wilayani Songea mjini
Katibu
wa NEC, Itikati na Uenezi Nape Nnauye akishirikiana na Mwenyekiti wa
CCM mkoa wai Ruvuma, kuondosha gogo kwenye eneo la ujenzi wa Zahanati
katika Kata ya Mahilo, Songea mkoani Ruvuma.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa kwenye picha ya pamoja na
waasisi wa CCM wilaya ya Songea mjini, kutoka kushoto ni Mzee Hashimu
Gawaza na kulia kwa Katibu Mkuu ni Mzee Clemenci Nyoni ambao walikaa
kikao cha kwanza na Mwalimu Nyerere tarehe 12 Agosti 1957 wakati wa
harakati za kuikomboa nchi,anayefuatia kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa
wa Ruvuma Ndugu Oddo Mwisho.
Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro akiwa na Wazee hao.
Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro akiwa na Wazee hao.
No comments:
Post a Comment