Mwanamuziki wa kizazi kipya anaefanya vizuri kwenye tasnia hiyo ya Bongo
Flava, Mwana FA jana Jumatatu Novemba 18, 2013 alonga na Vijimambo
aelezea historia yake kwa ufupi na kwanini yupo Marekani je yeye ni
mfuasi wa Freemason? Je anamchumba? na kama anaye mchumba wake ni nani
na lini wataaowa? kati ya Ali Kiba na Diamond nani anamkubali na mengene
mengi MSIKILIZE
NAHODHA WA NIGERIA ILIYOTWAA KOMBE LA MATAIFA AFRIKA 1980 AFARIKI DUNIA
-
NAHODHA na Kocha wa zamani wa timu ya ya Nigeria, Christian Chukwuemeka
Chukwu amefariki dunia jana (Aprili 12, 2025) akiwa ana umri wa miaka 74.
Chukwu a...
45 minutes ago
No comments:
Post a Comment