Mwanamuziki wa kizazi kipya anaefanya vizuri kwenye tasnia hiyo ya Bongo
Flava, Mwana FA jana Jumatatu Novemba 18, 2013 alonga na Vijimambo
aelezea historia yake kwa ufupi na kwanini yupo Marekani je yeye ni
mfuasi wa Freemason? Je anamchumba? na kama anaye mchumba wake ni nani
na lini wataaowa? kati ya Ali Kiba na Diamond nani anamkubali na mengene
mengi MSIKILIZE
HALMASHAURI YA MERU YAJIVUANIA BOOST KUWEZESHA UTEKELEZAJI WA SERA YA ELIMU
-
Kupitia Program ya BOOST, Halmashauri ya Wilaya ya Meru mkoani Arusha,
imepokea jumla ya Sh. Bilioni 2 na milioni 71 ambayo imewezesha ujenzi wa
miundombin...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment