Mwanamuziki wa kizazi kipya anaefanya vizuri kwenye tasnia hiyo ya Bongo
Flava, Mwana FA jana Jumatatu Novemba 18, 2013 alonga na Vijimambo
aelezea historia yake kwa ufupi na kwanini yupo Marekani je yeye ni
mfuasi wa Freemason? Je anamchumba? na kama anaye mchumba wake ni nani
na lini wataaowa? kati ya Ali Kiba na Diamond nani anamkubali na mengene
mengi MSIKILIZE
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa P...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment