Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakilakiwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadik(kushoto) muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaaam. leo jioni.Rais Kikwete amerejea nchini akitokea Warsaw Poland ambapo alihudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi Duniani na awali wiki iliyopita alikuwa nchini Srilanka kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Madola. Picha na Freddy Maro
Watanzania Tubaini Ajenda za Wahuni wa Ughaibuni; Amani Yetu Ndiyo Ngao ya
Maendeleo
-
Wakati Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiendelea na jitihada
za kuzima cheche za vita katika Ukanda wa Maziwa Makuu, Watanzania
wametaki...
43 minutes ago

No comments:
Post a Comment