Mjumbe wa NEC, Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi, akisisitiza alipozungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kikazi ya siku tatu kwa wenyeviti wa CCM wa kata 31 za wilaya ya Kinondoni, leo, Nov 5, mjini Dodoma. Kushoto ni Katibu wa CCM mkoa wa Dodoma Albert Mgumba na kulia ni Katibu wa CCM Wilaya ya Dodoma mjini, Saad Kusilawe na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge.
Washiriki wakimsikiliza Mjumbe wa NEC, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi (kulia) walipokuwa akifungua mafunzo ya wenyeviti wa CCM wa Kata za wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, leo mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa CCM, wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge, akimshukuru Dk. Rehema kwa kufungua mafunzo hayo.


No comments:
Post a Comment