Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtwisha ndoo ya maji Bibi Rukia Bakari muda mfupi baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji cha Kwemhosi wilayani Muheza Mkoa wa Tanga leo.Mradi huo utavinufaisha vijiji vinane katika wilaya hiyo yenye uhaba mkubwa wa maji. Picha na Freddy Maro
Balozi Shelukindo: SADC Inahitaji Mshikamano Thabiti wa Kiusalama
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Tanzania imeandaa Mkutano wa 27 wa Kamati ya Mawaziri wa Jumuiya ya
Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuhusu Ushirikiano w...
49 minutes ago
No comments:
Post a Comment