Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikabidhiwa Usinga na wazee wa kijiji cha kisesa wilayani Magu baada ya kusimikwa kuwa kiongozi wa kabila la wasukuma na, wakati wa Sherehe za kijadi na maadhimisho ya siku ya ngoma na nyimbo za kabila la kisukuma zilizofanyika Wilayani magu mkoani Mwanza, mwishoni mwa wiki.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipiga Ngoma kuashiria uzinduzi wa Mashindano ya Ngoma na Nyimbo katika Maadhimisho ya Tamasha la Jadi la Wasukuma kwenye Uwanja wa Kisesa Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza mwishoni mwa wiki.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, azungumza na Mtoto Fredrik Emmanuel baada ya Kumalizika kwa Sherehe za Uzinduzi wa tamasha la Ngoma na Nyimbo za Kabila la wasukuma zilizofanyika kwenye Uwanja wa Kisesa Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza.
Baadhi ya Wananchi wa kijiji cha kisesa mkoani mwanza, Wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, alipokua akiwahutubia kwenye Uzinduzi wa Mashindano ya Ngoma na Nyimbo za kabila la kisukuma zilizofanyika kwenye Uwanja wa Kisesa Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia Ngoma ya Kabila la Wasukuma wakati wa Tamasha la siku ya Bulabo zilizofanyika kwenye Uwanja wa Kisesa Wilayani Magu Mkoa wa Mwanza.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipunga mkono kuagana na wananchi wa kijiji cha kisesa baada ya kuzindua Mashindano ya Ngoma na Nyimbo za kabila la Wasukuma zilizofanyika kwenye Uwanja wa Kisesa Wilayani Magu Mkoni Mwanza.
.jpg)
.jpg)





No comments:
Post a Comment