HABARI ZILIZOUFIKIA MTANDAO HUU HIVI PUNDE ZINASEMA KUWA BALOZI WA LIBYA NCHINI, AMEFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO, HUKU ZIKIVUMA TETESI KUWA AMEJINYONGA. MTANDAO HUU UTAENDELEA KUKULETEA HABARI KADRI ZITAKAVYOTUFIKIA.
NSIMBO WACHANGAMKIA MAJIKO YA RUZUKU
-
-Washukuru kufikishiwa majiko banifu kwa bei ya ruzuku
Wananchi wa Kijiji cha Mtakuja Kata ya Kapalala katika Halmashauri ya
Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment