Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya MO Resources Limited,Onesmo Sigalla (kulia), akitoa maelezo kwa kwa wajumbe wa Kamati ya Maji ya Mtaa wa King'ongo, Kata ya Salanga, Kimara, Dar es Salaam, kuhusu hatua aliyofikia ya usafishaji maji katika ujenzi wa kisima cha maji kilichojengwa kwa msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kamati hiyo iliyokwenda kukagua maendeleo ya mradi huo jana, iliongozwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Demetrius Mapesi (kulia). Wajumbe wengine ni Anna Kibwana (wa pili kulia) na Emannuel Isimbula. PICHA NA KAMANDA WA MATUKIO
ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUMKATA VIDOLE MWANAFUNZI WA DARASA LA
NNE LUSHOTO
-
Na Oscar Assenga, LUSHOTO.
JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linamshikilia Mkazi wa Welei wilayani Lushoto
mkoani Tanga Isaka Clement Ngulizi kwa kosa la ku...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment