Neymar akionekana kuwa na maumivu makali akiwa amebebwa kutolewa uwanjani baada ya kuumia wakati wa mchezo wa Robo Fainali kati ya timu yake na Colombia uliochezwa jana usiku, Brazil ilishinda mabao 2-1 na kusonga mbele katika michuani hiyo ambapo sasa Brazil itakutana na Ujerumani ambao nao walishinda katika mchezo wao wa jana kwa kuwafunga Ufaransa kwa bao 1-0. Neymar baada ya kuumia mgongo alikimbizwa hospitali kwa matibabu na inawezekana akakosa mchezo ujao kati yao na Ujerumani.
Mahakama ya Afrika yaipa Rwanda siku 90 kujibu madai ya Congo ya kufadhili
waasisi wa M23
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
MAHAKAMA ya Afrika ya Watu na Haki za Binaadam (AfCPHR), imejiridhisha
kwamba inayouwezo na mamlaka ya kusikiliza kesi ya Jamhuri...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment