Habari za Punde

*NAIBU WAZIRI ANGELLA KAIRUKI AZUNGUMZA NA WANAHABARI KUHUSU ZIARA YAKE

 Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Angellah Kairuki akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kutoa maelezo ya majumisho ya ziara yake ya siku tano ya kuzitembelea Taasisi zinazotoa Huduma ya Msaada wa Kishria Mkoani Dar es Salaam.
Mkurugenzi mkuu wa kituo cha haki za binadamu  Hellen Kijo Bi. Simba(LHRC) (kulia) akimshukuru Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria baada ya kutembelea Taasisi zinazoshughulikia msaada wa kisheria jijini Dar es Salaam. Picha na Rose Masaka-MAELEZO.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.