Wachezaji wa timu ya Yanga, wakiwa katika mazoezi ya pamoja kwenye ufukwe wa coco beach eneo la gymkhana chini ya mwalimu wao Marcio Maximo jioni hii. Kwa matukio mengine ya picha za mazoezi hayo zitawajia baadaye. Kaa nasi.
Viongozi wa Dini Watakiwa Kutumia Lugha ya Kujenga Jamii-Mwalimu Joseph
-
Na Mwandishi Wetu
VIONGOZI wa Dini wana nafasi kubwa ya kuunganisha jamii kutokana na madhara
yaliyotokea katika Uchaguzi Mkuu na baada ya uchaguzi.
...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment