Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akiongea na waandishi wa habari wakati alipokuwa akifafanua juu ya malipo ya mishahara ya watumishi yaliyofanyika mwezi Julai mwaka huu leo jijini Dar es salaam ambapo ameonya mamlaka husika ziwe na taarifa sahihi za idadi ya watumishi ili kuondoa makosa ya kulipa mishahara hewa, endapo kutatokea makosa ya ulipaji wa mishahara hewa watachukuliwa hatua za kisheria na kufikishwa mahakamani.Picha zote na Eleuteri Mangi – MAELEZO
Eight Strategic Agreements: The New Map of Tanzania-Russia Economic
Cooperation Unveiled
-
* Minister of State in the President's Office (Planning and Investment),
Professor Kitila Mkumbo, addressing members of the press on the outcomes of
th...
5 hours ago


No comments:
Post a Comment