Jengo la biashara la Machinga Complex, likiwaka moto mapema mchana wa leo kama mtandao huu ulivyotangulia kukuhabarisha awali, mpaka sasa bado hakijajulikana chanzo cha ajali hiyo ya.moto.
Tanzania, Zambia kushirikiana kudhibiti uingizaji holela wa mazao ya misitu
-
Na Mwandishi Wetu, Ndola
Serikali ya Tanzania, kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS),
imeweka msingi wa suluhisho la kudumu kukabiliana na ch...
23 minutes ago
No comments:
Post a Comment