Hapa vita baina ya wapinzani, mashabiki wa Vyama vya Siasa, itasubiri sana kwa hata wao wamekuwa kama mashabiki wa soka wanapokwenda uwanjani na kurudi nyumbani huitana na kupanda gari ama usafiri mmoja, japo ushabiki na upinzani wao hubakia palepale. Ndivyo ilivyo kwa jamaa hawa pichani mfuasi wa chama cha Cuf akiwa amembeba mpinzani wake mfuasi wa CCM, tena abiria ambaye ni wa CCM akiwa anapeperusha bendera kubwa bila shaka. Ama kwa hakika huu ni mfano wa kuigwa.
DKT. NCHIMBI AWANADI WAGOMBEA UBUNGE, MADIWANI WA SIMIYU KWA WANANCHI
-
MGOMBEA mwenza wa kiti cha urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi
(CCM),Balozi Dkt.Emmanuel John Nchimbi amepokelewa kwa shangwe na wananchi
alipokuwa aki...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment