Huku ni uswahilini mitaa ya Msasani kama inavyoonekana juu ni waya wa umeme ukiwa umekatiza njia kutoka nyumba moja na kuingia nyumba nyingine, jambo ambalo ni hatari. Tanesco waliamua kuunga kila nyumba na mita yake na kila nyumba kuchukua umeme kutoka kwenye nguzo ili kuepuka hatari ya nyumba kulipuka moto na kusababisha maafa, lakini kwa uswahilini jambo hili bado linaendelea kufanyika HII NI HATARI WAZEE WA MITA MNAONA HII KITU???
DKT.BITEKO - VYOMBO VYA HABARI VIWE WALINZI WA AMANI UCHAGUZI MKUU 2025
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, ametoa wito kwa
vyombo vya habari na waandishi nchini kote kuhakik...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment