Habari za Punde

*PICHA ZA ASKOFU GWAJIMA AKITOKA KUHOJIWA KITUO CHA POLISI KATI JIJINI DAR LEO MCHANA

 Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo, Josephat Gwajima (wa tatu kushoto)  akishuka ngazi za Kituo cha Polisi cha Kati wakati akitoka kituoni hapo baada ya kuhojiwa na jeshi la Polisi, leo mchana.
 Kamanda Silo, akizungumza na baadhi ya wafuasi wa Gawjima waliofika katika Kituo cha Polisi cha Kati kusikiliza kesi ya Kiongozi wao leo.
 Baadhi ya wafuasi wa Gwajima wakimsubiria kiongozi wao nje ya Kituo cha Kati karibu na Stesheni ya Treni baada ya kuamuriwa kuwa mbali na kituo hicho.
 Gwajima, akiongozana na msaidizi wake na baadhi ya Mawakili wake baada ya mahojiano na Jeshi la Polisi.
Askofu Gwajima, akizungumza na Waandishi wa habari baada ya mahojiano hayo nje ya Kituo cha Polisi cha Kati. Picha na Jay Jay

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.