Habari za Punde

*UFUNGUZI WA MKUTANO MKUU WA 31 WA ALATI JIJINI DAR

 Mwenyeketi wa Taifa wa Jumiya ya Tawala za Serikali za Mitaa (ALATI), Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Masaburi, akifungua mkutano mkuu wa 31 wa ALATI, jijini Dar leo. Kulia aliyekaa ni Prof Suleiman Ngwara wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Katibu Mtendaji wa ALATI, Abraham Shamumoyo, akimkaribisha mgeni rasmi kufungua mkutano huo.
 Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa 31 ALATI wakimsikili Meya wa Dar es Salaam Didas Masaburi alipokuwa akifungua mkutano huo.
 Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa 31 ALATI wakimsikili Meya wa Dar es Salaam Didas Masaburi alipokuwa akifungua mkutano huo. Picha na Miraji Msala wa Sufianimafoto.com

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.