Mwenyekiti wa CUF, aliyejiuzulu hivi karibuni, Profesa Ibrahimu Lipumba , akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, jana akitokea Jijini Rwanda. Akizungumza mara tu baada ya kuwasili, Lipumba, akisema kuwa aliwa Jijini Rwanda, kwa kazi maalum kufanya Utafiti, ambayo amefanikiwa kuimaliza.
EYONG AFUNGA BAO PEKEE CAMEROON YAICHAPA GABON 1-0
-
BAO la dakika ya sita la mshambuliaji wa Levante ya Hispania, Karl Edouard
Blaise Etta Eyong limeipa Cameroon ushindi wa 1–0 dhidi ya Gabon katika
mchezo...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment