Habari za Punde

*CHAMA CHA WALIM (CWT) CHAKANUSHA HABARI ZA MITANDAONI KUWASAIDIA CCM KWENYE UCHANGUZI MKUU MWAKA HUU

 Rais wa cha cha walimu Tanzania, Gration Mukoba,  akizungumza na waadishi wa  habari  ofisin kwake leo, wakati akikanusha habari za uzushi zilizosambaa mitandaoni kuwa Chama hicho kimechuku pesa za Chama cha Mapinduzi ili kuwapa wanachama wake kwa lengo la kukisaidi chama hicho katika harakati za Uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Kulia ni Ktibu Mkuu wa CWT.

Mukoba alisema kuwa hawajawahi kwenda Hoteli ya Sea Clief kama ilinavyoenezwa mitandao ni kwa lengo la kuchukua Mlungula wala kukutana na January Makamba ,Hamisi Kigwangala,Mwigulu Nchemba na kuongeza kuwa siku hiyo tajwa ya tarehe 28-9-2015   majira ya saa 6 kamili usiku hakuwa maeneo hayo.Baadhi ya Waadishi wa habari wakifuatilia habari ya za Rais wa CWT wakati  akitoa maelezo juu ya tuhuma zilizosambaa mitandaoni.Picha na Miraji Msala

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.