Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifunua kitambaa kuweka jiwe la msingi uzinduzi wa mradi wa kuzalisha Umeme kwa njia ya Upepo katika kijiji cha Irawo Unyamikumbi Mkoani Singida jana Oct 06, 2015
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifunua kitambaa kuweka jiwe la msingi uzinduzi wa mradi wa kuzalisha Umeme kwa njia ya Upepo katika kijiji cha Irawo Unyamikumbi Mkoani Singida jana.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, kati kati akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa kampuni ya Wind East Afrika Group wakati wa ghafla ya uwekaji jiwe la msingi uzinduzi wa mradi wa kuzalisha Umeme kwa njia ya Upepo katika kijiji cha Irawo Unyamikumbi Mkoani Singida jana
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipanda mti kwenye eneo la uwekezaji wa mradi wa kuzalisha umeme kwa njia ya upepo katika kijiji cha Irawo Inyamikumi Mkoani Singida baada ya kuweka jiwe la msingi uzinduzi wa mradi huo jana
No comments:
Post a Comment