Habari za Punde

*CCM YAMTEUA MTOTO WA KIGODA KUWANIA UBUNGE WA JIMBO LA HANDENI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Ndugu Omary Abdallah Kigoda kuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Handeni Mjini.
Ndugu Kigoda ameteuliwa kugombea nafasi hiyo ya ubunge baada ya kushinda kura za maoni za marudio zilizofanyika Novemba 03, 2015.

Imetolewa na:-

Nape Moses Nnauye,    
KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA TAIFA,
ITIKADI NA UENEZI
04/11/2015

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.