Mwenyekiti wa Good News for All Ministry, Askofu Charles Gadi akizungumza na waaandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu mkutano wa maombi siku ya Jumatano ya tarehe 20 Januari mwaka huu katika eneo la Soko la Samaki Feri ili kuomba Mungu kuepusha ongezeko la joto nchini kushoto ni Katibu wa Good News For All Ministry Mchungaji Palemo Massawe. Picha na Beatrice Lyimo Maelezo
BIASHARA YA UCHOCHEZI KWA BILIONI – Mange Kimambi na Mtego wa Maafa Ya
Kisiasa
-
Na Mchambuzi Maalum
SAUTI za kampeni za uchaguzi wa Rais, Wabunge, na Madiwani nchini Tanzania
zimechanganyikana na mvumo wa ajabu unaotoka katika mitan...
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment