Habari za Punde

*TAMASHA LA MICHEZO LA WANAWAKE KUELEKEA KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LAFANA UWANJA WA UHURU DAR

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (watatu kulia mbele) akiongoza wanawake kufanya mazoezi wakati wa tamasha la maadhimisho kuelekea kilele cha siku ya wanawake katika viwanja vya Uhuru leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Bibi. Sihaba Nkinga
  Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Bibi. Sihaba Nkinga (katikati) akifanya mazoezi ya kukimbia wakati wa tamasha la maadhimisho kuelekea kilele cha siku ya wanawake katika viwanja vya Uhuru leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mjumbe wa Baraza la Michezo ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Bibi. Zainabu Mbussi. KUSOMA ZAIDI BOFYA READ MORE
  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akiongea na wanawake (hawapo pichani) walioudhuria tamasha la maadhimisho kuelekea kilele cha siku ya wanawake katika viwanja vya Uhuru leo jijini Dar es Salaam.
 Makamu Mwenyekiti Baraza la Michezo Taifa Bibi. Zaynab Matitu Vulu ambaye pia ni Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Pwani akimkaribisha mgeni rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama wakati wa tamasha la maadhimisho kuelekea kilele cha siku ya wanawake katika viwanja vya Uhuru leo jijini Dar es Salaam.
  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akirusha mpira kuashiria ufunguzi wa mchezo wa mpira wa pete wakati wa tamasha la maadhimisho kuelekea kilele cha siku ya wanawake katika viwanja vya Uhuru leo jijini Dar es Salaam. Anayezuia mpira ni Mjumbe wa Baraza la Michezo ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Bibi. Zainabu Mbussi.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (wapili kulia) akipata maelekezo kuhusu michezo mbalimbali iliyoandaliwa kutoka kwa Kaimu Katibu Mtendaji Baraza la Michezo la Taifa Bw. Mohamed Kiganja (wapili kulia) wakati wa tamasha la maadhimisho kuelekea kilele cha siku ya wanawake katika viwanja vya Uhuru leo jijini Dar es Salaam.
 Wanamichezo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakifanya mazoezi ya viungo kabla ya kushiriki michezo mbalimbali wakati wa tamasha la maadhimisho kuelekea kilele cha siku ya wanawake katika viwanja vya Uhuru leo jijini Dar es Salaam.
  Wanamichezo kutoka Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), wakijiandaa kushiriki mchezo wa kuvuta kamba ambapo walishindana na Wanamichezo kutoka Wizara Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo tamasha la maadhimisho kuelekea kilele cha siku ya wanawake katika viwanja vya Uhuru leo jijini Dar es Salaam.
 Wanamichezo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakiwavuta wapinzani wao kutoka Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) mbalimbali wakati wa tamasha la maadhimisho kuelekea kilele cha siku ya wanawake katika viwanja vya Uhuru leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akipokea fomu ya kujiunga kwa hiari katika Mfuko wa Hiara wa PSPF kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu wakati wa tamasha la maadhimisho kuelekea kilele cha siku ya wanawake katika viwanja vya Uhuru leo jijini Dar es Salaam.
 Kikosi cha timu shiriki ya wanawake....
 Soka la wanawake likiendelea uwanjani hapo wakati wa Tamasha hilo.....
 Vijana wakichuana katika mbio za magunia....
 Mchezo wa Kamba......
 Kinamama watumishi wakichuana kwa mbio...
 Kina mama wakichuana kuruka Kamba.....
 Wanafunzi wa kike wakichuana kuvutana Kamba.....
 Kikosi cha timu pinzani ya wanawake.......
Mchezo waNetiboli ukiendelea... Picha na: Beatrice Lyimo na Genofeva Matemu

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.