Mtandao huu wa Sufianimafoto, unapenda kuwatakia wasomaji wake wote Ndani na nje ya Tanzania, Sikukuu njema ya Eid El-Fitri, Mungu awalinde na awaongoze kwa kila jambo Inshaallah. Ujumbe wa leo kwa waliochelewa Msisahau kutoa Dhaka kabla ya kwenda Msikitini asubuhi, Inshaallah. EID MUBARAK
Bandari ya Dar es Salaam: haijauzwa imekodishwa kwa tija
-
Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndugu Gerson Msigwa, ametoa ufafanuzi mzito na wa
kina mbele ya vyombo vya habari leo katika Bandari ya Dar es Salaam,
akion...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment