Habari za Punde

*SAMATTA AENDELEA KUNG'AA AIBEBA TENA GENK IKISHINDA 2-0,CHEKI BAO LAKE HAPA

Mshambuliaji wa Kimataifa na Nahodha wa timy ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Ally Samaata, Jana usikualiendelea kung'aa kwa kuendelea kutupia nyavuni baada ya kutupia bao la pili katika dakika ya 79 kati ya mawili wakati timu yake ya Genk ilipocheza mchezo wa hatua za awali kuwania kucheza 'Europa Ligue' dhidi ya Buducnost Podgorica.
Bao la kwanza lilifungwa na Neeskens Kebano katika dakika ya 17 kwa mkwaju wa penati.

Katika mchezo huo Genk waliibuka washindi kwa mabao 2-0

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.