Habari za Punde

*TIMU YA MEDEAMA KUTOKA GHANA YAWASILI JIJINI DAR ES SALAAM

   Baadhi ya wachezaji wa timu ya Medeama ya Ghana wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa, Julius Nyerere Dar es Salaam  kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shilikisho Afrika CAF dhidi ya Yanga Mchezo unaotarajia kuchezwa keshokutwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Aidha timu ya Yanga imetangza kuwa viingilio vitakuwa ni 3,000 na 10,000. timu ya Yanga imeshusha viingilio hivyo kwa lengo la kufanya mashabiki wengi wahudhurie mchezo huo. 
PICHA NA KHAMISI MUSSA

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.