Habari za Punde

*TFDA KUENDELEA KUDHIBITI MADHARA YA DAWA

 Meneja Uhusinao wa mamlaka ya Chakula naD awa (TFDA) Bi. Gaudensia Simwanza (kulia) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu mkakati wa Mamlaka hiyo kudhibiti madahara ya Dawa ikiwa ni moja ya majukumu yake ili kuhakikisha kuwa wananchi wanakuwa Salama.kushoto ni Afisa Usajili wa  Dawa  kutoka  TFDA Dkt. Alex Nkyamba.
 Afisa Usajili wa  Dawa  kutoka  TFDA Dkt. Alex Nkyamba akionesha kwa waandishi wa habari fomu inayotakiwa kujazwa na wananchi pale wanapopata madhara yatokanayo na dawa Leo Jijini Dar es salaam wakati wa mkutano na vyombo vya habari.Kulia ni Afisa Uhusinao wa mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Bi. Gaudensia Simwanza
Baadhi ya Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA)  na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam. Picha na Maelezo
***************************************
Serikali  imedhamiraia kuendelea kuwalinda wananchi dhidi ya madahara yatokanayo na Matumizi ya Dawa kwa lengo la Kulinda afya ya Jamii.
Kauli hiyo imetolewa na Meneja Uhusiano wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Bi Gaudensia Simwanza wakati wa mkutano na Waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.

Akifafanua Simwanza amesema kuwa  Mamlaka hiyo inao mfumo wa ufuatiliaji wa Usalama wa Dawa ambao Kitaalamu unajulikana kama (Pharmacovigince) unaojumuisha utambuzi,tathmini,uelewa na udhibiti

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.